Psalms 42:1-2

(Zaburi 42–72)

Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni

(Kwa Mwimbishaji: Utenzi Wa Wana Wa Kora)


1 aKama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,
ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.

2 bNafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.
Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
Copyright information for SwhKC